Mambo ya Walawi 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa atalitakasa shamba lake kuanzia mwaka wa Yubile+ na kuendelea, litagharimu kulingana na thamani iliyokadiriwa. Mambo ya Walawi 27:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Katika mwaka wa Yubile shamba hilo litarudi kwa mtu aliyelinunua kutoka kwake, kwa mtu ambaye shamba hilo ni mali yake.+
17 Ikiwa atalitakasa shamba lake kuanzia mwaka wa Yubile+ na kuendelea, litagharimu kulingana na thamani iliyokadiriwa.
24 Katika mwaka wa Yubile shamba hilo litarudi kwa mtu aliyelinunua kutoka kwake, kwa mtu ambaye shamba hilo ni mali yake.+