Isaya 24:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndiyo sababu laana imeila nchi,+ na wakaaji wake wamehesabiwa hatia. Ndiyo sababu wakaaji wa nchi wamepungua hesabu, na wanadamu wanaoweza kufa walio wachache sana ndio wamebaki.+
6 Ndiyo sababu laana imeila nchi,+ na wakaaji wake wamehesabiwa hatia. Ndiyo sababu wakaaji wa nchi wamepungua hesabu, na wanadamu wanaoweza kufa walio wachache sana ndio wamebaki.+