Mambo ya Walawi 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 na njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, kulingana na mapato yake, na mmoja atakuwa toleo la dhambi na yule mwingine atakuwa toleo la kuteketezwa. Luka 2:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 na kutoa dhabihu kulingana na yanayosemwa katika sheria ya Yehova: “Njiwa-tetere wawili au hua wachanga wawili.”+
22 na njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, kulingana na mapato yake, na mmoja atakuwa toleo la dhambi na yule mwingine atakuwa toleo la kuteketezwa.
24 na kutoa dhabihu kulingana na yanayosemwa katika sheria ya Yehova: “Njiwa-tetere wawili au hua wachanga wawili.”+