20 Noa akamjengea Yehova madhabahu+ na kuchukua baadhi ya wanyama wote walio safi+ na baadhi ya viumbe vyote vinavyoruka ambavyo ni safi,+ akatoa matoleo ya kuteketezwa juu ya ile madhabahu.+
18 Nawe utamfukiza kondoo huyo mzima juu ya madhabahu. Hilo ni toleo la kuteketezwa+ kwa Yehova, harufu yenye kutuliza.+ Ni toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.