28 Na chombo cha udongo+ ambamo huenda likatokosewa ndani yake kitavunjwa. Lakini ikiwa lilitokoswa katika chombo cha shaba, basi kitaparuzwa na kuoshwa kwa maji.
13 Na kwa habari ya haki inayostahiliwa ya makuhani kutoka kwa watu,+ wakati ambapo mtu yeyote alipokuwa akitoa dhabihu, mtumishi wa kuhani alikuja na uma wenye meno matatu mkononi mwake, nyama ilipoanza tu kutokota,+