Mambo ya Walawi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Naye atamleta ng’ombe huyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova na kuuweka mkono wake juu ya kichwa cha ng’ombe huyo,+ naye atamchinja ng’ombe huyo mbele za Yehova.
4 Naye atamleta ng’ombe huyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova na kuuweka mkono wake juu ya kichwa cha ng’ombe huyo,+ naye atamchinja ng’ombe huyo mbele za Yehova.