Isaya 49:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Naye akaniambia: “Wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+ wewe ambaye kwako nitaonyesha uzuri wangu.”+ Yohana 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa hiyo alipokuwa ameenda, Yesu akasema: “Sasa Mwana wa binadamu ametukuzwa,+ na Mungu ametukuzwa kuhusiana na yeye. 2 Wathesalonike 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu+ wake na kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tulioutoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.
3 Naye akaniambia: “Wewe ni mtumishi wangu, Ee Israeli,+ wewe ambaye kwako nitaonyesha uzuri wangu.”+
31 Kwa hiyo alipokuwa ameenda, Yesu akasema: “Sasa Mwana wa binadamu ametukuzwa,+ na Mungu ametukuzwa kuhusiana na yeye.
10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu+ wake na kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tulioutoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.