Ayubu 39:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Na watoto wake huendelea kunywa damu;Na mahali walipo wale waliouawa, yeye yupo hapo.”+ Mathayo 24:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Popote mzoga ulipo, hapo ndipo watakapokusanyika+ tai.+