Mambo ya Walawi 15:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na katika siku ya nane atajichukulia njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, naye atakuja mbele za Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kumpa kuhani.
14 Na katika siku ya nane atajichukulia njiwa-tetere+ wawili au hua wawili wachanga, naye atakuja mbele za Yehova kwenye mwingilio wa hema la mkutano na kumpa kuhani.