Mambo ya Walawi 14:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Naye kuhani atamchukua yule mwana-kondoo dume wa toleo la hatia+ na ile logi ya mafuta, naye kuhani atavitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+
24 “Naye kuhani atamchukua yule mwana-kondoo dume wa toleo la hatia+ na ile logi ya mafuta, naye kuhani atavitikisa huku na huku vikiwa toleo la kutikisa mbele za Yehova.+