Mambo ya Walawi 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye kuhani atachovya kidole+ chake ndani ya damu hiyo na kutapanya sehemu ya damu hiyo mara saba+ mbele za Yehova mbele ya pazia la mahali patakatifu. Mambo ya Walawi 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Naye kuhani atachovya kidole chake katika sehemu ya damu hiyo na kuitapanya mara saba mbele za Yehova mbele ya pazia.+
6 naye kuhani atachovya kidole+ chake ndani ya damu hiyo na kutapanya sehemu ya damu hiyo mara saba+ mbele za Yehova mbele ya pazia la mahali patakatifu.
17 Naye kuhani atachovya kidole chake katika sehemu ya damu hiyo na kuitapanya mara saba mbele za Yehova mbele ya pazia.+