23 Baada ya hayo Musa akamchinja na kuchukua sehemu ya damu yake na kuitia kwenye ncha ya sikio la kuume la Haruni na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+
14 “Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la hatia, naye kuhani ataitia kwenye ncha ya sikio la kuume la yule anayejitakasa na kwenye kidole gumba cha mkono wake wa kuume na kwenye kidole kikubwa cha mguu wake wa kuume.+