-
Mambo ya Walawi 13:56Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
56 “Lakini ikiwa kuhani ametazama, na, tazama sasa, pigo limefifia baada ya kuoshwa, ndipo atalirarua kutoka katika vazi au ngozi au mtande au mshindio.
-