Kutoka 28:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji. Ufunuo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+
39 “Nawe utafuma kanzu ya kitani bora yenye mirabamiraba na kufanya kilemba cha kitani bora,+ nawe utafanya ukumbuu,+ kazi ya mfumaji.
8 Ndiyo, amepewa ruhusa ya kupambwa kitani bora, changavu, safi, kwa maana hicho kitani bora humaanisha matendo ya uadilifu ya watakatifu.”+