Mambo ya Walawi 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano; nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote. Mambo ya Walawi 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “‘Sasa hii ndiyo sheria ya dhabihu ya ushirika+ ambayo mtu yeyote atamtolea Yehova:
2 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo lake, nalo litachinjwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano; nao wana wa Haruni, makuhani, watainyunyiza damu yake kwenye madhabahu kuizunguka pande zote.