Mwanzo 30:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Akajibu akamwambia: “Je, hili ni jambo dogo, kwamba wewe umemchukua mume wangu,+ na sasa wewe uzichukue pia dudai za mwanangu?” Basi Raheli akasema: “Kwa sababu hiyo yeye atalala nawe usiku wa leo kwa kubadilishana na dudai za mwana wako.” 1 Samweli 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.
15 Akajibu akamwambia: “Je, hili ni jambo dogo, kwamba wewe umemchukua mume wangu,+ na sasa wewe uzichukue pia dudai za mwanangu?” Basi Raheli akasema: “Kwa sababu hiyo yeye atalala nawe usiku wa leo kwa kubadilishana na dudai za mwana wako.”
6 Na yule mke mwenzake alimsumbua+ mno pia hata kumfadhaisha kwa sababu Yehova alikuwa amefunga tumbo lake la uzazi.