Kutoka 29:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi. Hesabu 19:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na ng’ombe huyo atateketezwa motoni mbele ya macho yake. Ngozi yake na nyama yake na damu yake pamoja na mavi yake vitateketezwa.+
14 Lakini nyama ya ng’ombe-dume na ngozi yake na mavi yake utaviteketeza kwa moto nje ya kambi.+ Hilo ni toleo la dhambi.
5 Na ng’ombe huyo atateketezwa motoni mbele ya macho yake. Ngozi yake na nyama yake na damu yake pamoja na mavi yake vitateketezwa.+