Yoshua 7:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+ Methali 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uadilifu huinua taifa,+ lakini dhambi ni aibu kwa vikundi vya mataifa.+
11 Israeli wametenda dhambi, nao wamevunja agano langu+ ambalo niliwaamuru; tena wamechukua sehemu ya vitu vilivyotengwa kwa ajili ya kuharibiwa,+ tena wameiba,+ tena wamevificha+ na kuvitia katikati ya vyombo vyao wenyewe.+