17 Ndipo Israeli wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Edomu,+ wakisema: “Tafadhali, niache nipite katika nchi yako,” naye mfalme wa Edomu hakusikiliza. Pia wakatuma wajumbe kwa mfalme wa Moabu,+ naye hakukubali. Basi Israeli wakaendelea kukaa katika Kadeshi.+