Hesabu 26:63 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Hawa ndio walioandikishwa na Musa na Eleazari kuhani walipowaandikisha wana wa Israeli katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani huko Yeriko.+ Hesabu 33:49 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 49 Nao wakaendelea kukaa katika kambi kando ya Yordani kutoka Beth-yeshimothi+ mpaka Abel-shitimu+ katika nchi tambarare za jangwa la Moabu.
63 Hawa ndio walioandikishwa na Musa na Eleazari kuhani walipowaandikisha wana wa Israeli katika nchi tambarare za jangwa la Moabu kando ya Yordani huko Yeriko.+
49 Nao wakaendelea kukaa katika kambi kando ya Yordani kutoka Beth-yeshimothi+ mpaka Abel-shitimu+ katika nchi tambarare za jangwa la Moabu.