Ufunuo 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Lakini wale wengine wakauawa kabisa kwa ule upanga mrefu wa yule anayeketi juu ya farasi,+ upanga uliochomoza kinywani mwake.+ Na ndege+ wote wakashiba+ sehemu zao zenye nyama.+
21 Lakini wale wengine wakauawa kabisa kwa ule upanga mrefu wa yule anayeketi juu ya farasi,+ upanga uliochomoza kinywani mwake.+ Na ndege+ wote wakashiba+ sehemu zao zenye nyama.+