Hesabu 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nao wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliouawa, yaani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba, wale wafalme watano wa Midiani;+ nao wakamuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.
8 Nao wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliouawa, yaani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba, wale wafalme watano wa Midiani;+ nao wakamuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.