Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nao wakawaua wafalme wa Midiani pamoja na wengine waliouawa, yaani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba, wale wafalme watano wa Midiani;+ nao wakamuua Balaamu+ mwana wa Beori kwa upanga.

  • Yoshua 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 na majiji yote ya nchi tambarare ya juu+ na ufalme wote wa Sihoni mfalme wa Waamori, aliyetawala katika Heshboni,+ na ambaye Musa alimpiga na kumuua,+ pamoja na wakuu wa Midiani, Evi na Rekemu na Suri na Huru na Reba,+ watawala wadogo wa Sihoni, waliokuwa wakikaa katika nchi hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki