Hesabu 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kupiga kambi kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu+ ng’ambo ya Yordani kutoka Yeriko. Hesabu 31:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko. Hesabu 33:48 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Mwishowe wakaondoka katika milima ya Abarimu, wakapiga kambi katika nchi tambarare za jangwa la Moabu+ kando ya Yordani, kule Yeriko.
22 Ndipo wana wa Israeli wakaondoka na kupiga kambi kwenye nchi tambarare za jangwa la Moabu+ ng’ambo ya Yordani kutoka Yeriko.
12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko.
48 Mwishowe wakaondoka katika milima ya Abarimu, wakapiga kambi katika nchi tambarare za jangwa la Moabu+ kando ya Yordani, kule Yeriko.