6 wala mambo aliyowatendea Dathani na Abiramu+ wana wa Eliabu mwana wa Rubeni, wakati dunia ilipofungua kinywa chake na kuwameza pamoja na nyumba zao na mahema yao na kila kitu kilichokuwako ambacho kilipiga hatua na kuwafuata katikati ya Israeli yote);+