Hesabu 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Na moto ukaja kutoka kwa Yehova+ na kuwateketeza wale wanaume 250 waliokuwa wakitoa uvumba.+ Zaburi 106:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na moto ukawaka katikati ya kusanyiko lao;+Mwali wa moto ukawateketeza waovu.+