Mwanzo 35:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni. Mwanzo 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini+ na Zohari na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.
23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, na Simeoni na Lawi na Yuda na Isakari na Zabuloni.
10 Na wana wa Simeoni+ walikuwa Yemueli na Yamini na Ohadi na Yakini+ na Zohari na Shauli+ mwana wa mwanamke Mkanaani.