Mwanzo 38:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini Eri, mzaliwa wa kwanza wa Yuda, alikuwa mbaya machoni pa Yehova;+ kwa hiyo Yehova akamuua.+ Mwanzo 38:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini Onani alijua kwamba uzao huo haungekuwa wake;+ basi alipolala na mke wa ndugu yake akamwaga chini shahawa zake ili asimpe ndugu yake uzao.+ Mwanzo 38:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa jambo alilofanya lilikuwa baya machoni pa Yehova;+ kwa hiyo akamuua yeye pia.+
9 Lakini Onani alijua kwamba uzao huo haungekuwa wake;+ basi alipolala na mke wa ndugu yake akamwaga chini shahawa zake ili asimpe ndugu yake uzao.+