Hesabu 15:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nawe utatoa divai iwe toleo la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini, pamoja na lile toleo la kuteketezwa au kwa ajili ya dhabihu ya kila mwana-kondoo dume.
5 Nawe utatoa divai iwe toleo la kinywaji,+ sehemu ya nne ya hini, pamoja na lile toleo la kuteketezwa au kwa ajili ya dhabihu ya kila mwana-kondoo dume.