Mwanzo 28:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Ndipo Yakobo akaweka nadhiri,+ akisema: “Mungu akiendelea kuwa pamoja nami na kwa hakika anitunze katika njia hii ninayoiendea na kunipa mkate wa kula na mavazi ya kuvaa+ Mambo ya Walawi 27:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Ikiwa mtu atamwekea Yehova nadhiri ya pekee+ kwa kumtolea Yehova nafsi kulingana na thamani iliyokadiriwa, Waamuzi 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova na kusema: “Hakika ukiwatia wana wa Amoni mkononi mwangu,
20 Ndipo Yakobo akaweka nadhiri,+ akisema: “Mungu akiendelea kuwa pamoja nami na kwa hakika anitunze katika njia hii ninayoiendea na kunipa mkate wa kula na mavazi ya kuvaa+
2 “Sema na wana wa Israeli, nawe uwaambie, ‘Ikiwa mtu atamwekea Yehova nadhiri ya pekee+ kwa kumtolea Yehova nafsi kulingana na thamani iliyokadiriwa,
30 Ndipo Yeftha akaweka nadhiri+ kwa Yehova na kusema: “Hakika ukiwatia wana wa Amoni mkononi mwangu,