Hesabu 21:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+ Hesabu 33:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Baadaye wakaondoka Iyimu, wakapiga kambi Dibon-gadi.+ Yoshua 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+
30 Kwa hiyo na tuwapige mishale.Hakika Heshboni ataangamia mpaka Diboni,+Nao wanawake mpaka Nofa, wanaume mpaka Medeba.”+
17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+