Hesabu 21:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+ Yoshua 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+
26 Kwa maana Heshboni lilikuwa jiji la Sihoni.+ Yeye alikuwa mfalme wa Waamori,+ naye ndiye aliyepigana na mfalme wa Moabu zamani na kuichukua nchi yake yote kutoka mkononi mwake mpaka Arnoni.+
17 Heshboni+ na miji yake yote+ iliyo katika nchi tambarare ya juu, Diboni+ na Bamoth-baali+ na Beth-baal-meoni,+