Hesabu 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Na wanaume fulani watakuwa pamoja nanyi, mwanamume mmoja kwa kabila moja; kila mmoja ni kichwa cha nyumba ya baba zake.+ Hesabu 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+
4 “Na wanaume fulani watakuwa pamoja nanyi, mwanamume mmoja kwa kabila moja; kila mmoja ni kichwa cha nyumba ya baba zake.+
16 Hao ndio walioitwa wa kusanyiko, wakuu+ wa makabila ya baba zao. Hao ndio vichwa vya maelfu ya Israeli.”+