Mwanzo 4:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa hiyo akasema: “Umefanya nini? Sikiliza! Damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika udongo.+ Zaburi 106:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+ Luka 11:50 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 50 ili damu ya manabii+ wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu ipate kudaiwa kutoka kwa kizazi+ hiki,
38 Kwa hiyo wakaendelea kumwaga damu isiyo na hatia,+Damu ya wana wao na binti zao,Ambao waliwatoa dhabihu kwa sanamu za Kanaani;+Na nchi ikachafuliwa na umwagaji wa damu.+
50 ili damu ya manabii+ wote iliyomwagwa tangu kuwekwa msingi wa ulimwengu ipate kudaiwa kutoka kwa kizazi+ hiki,