3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi.
3 Kwa maana, Sheria+ ikiwa haina uwezo, huku ilipokuwa dhaifu+ kupitia mwili, Mungu, kwa kumtuma Mwana+ wake mwenyewe akiwa katika mfano wa mwili+ wenye dhambi+ na kuhusu dhambi, aliihukumu dhambi katika mwili,