Kutoka 40:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+ Hesabu 9:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Na wakati wowote wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, wana wa Israeli walikuwa wakiondoka mara moja baada yake,+ na mahali ambapo wingu hilo lilikuwa likikaa, hapo ndipo wana wa Israeli walipokuwa wakipiga kambi.+
36 Na wakati ambapo wingu hilo lilikuwa likiinuka kutoka juu ya maskani wana wa Israeli walikuwa wakivunja kambi katika hatua zao zote za safari.+
17 Na wakati wowote wingu hilo lilipoinuka kutoka juu ya hema, wana wa Israeli walikuwa wakiondoka mara moja baada yake,+ na mahali ambapo wingu hilo lilikuwa likikaa, hapo ndipo wana wa Israeli walipokuwa wakipiga kambi.+