29 Alipoinua macho yake na kumwona Benyamini ndugu yake, mwana wa mama yake,+ akasema: “Je, huyu ni ndugu yenu, yule mdogo zaidi mliyeniambia juu yake?”+ Naye akaongeza kusema: “Mungu na akuonyeshe kibali chake,+ mwanangu.”
38 Wana wa Benyamini+ kulingana na familia zao walikuwa: Wa Bela+ familia ya Wabela; wa Ashbeli+ familia ya Waashbeli; wa Ahiramu familia ya Waahiramu;