Zaburi 78:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hawakuwa wameacha tamaa yao,Chakula chao kilipokuwa kingali kinywani mwao,+ Zaburi 106:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Naye akawapa ombi lao+Na kuwatumia ugonjwa unaodhoofisha ndani ya nafsi yao.+