Yoshua 14:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi Musa akaapa siku hiyo, akisema, ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga+ itakuwa yako na ya wana wako, iwe urithi mpaka wakati usio na kipimo, kwa kuwa umemfuata Yehova Mungu wangu kikamilifu.’+
9 Basi Musa akaapa siku hiyo, akisema, ‘Nchi ambayo mguu wako umekanyaga+ itakuwa yako na ya wana wako, iwe urithi mpaka wakati usio na kipimo, kwa kuwa umemfuata Yehova Mungu wangu kikamilifu.’+