Isaya 30:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+ 1 Wathesalonike 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.
12 Kwa hiyo Mtakatifu wa Israeli amesema hivi: “Kwa sababu ya ninyi kulikataa neno hili,+ na kwa kuwa mnategemea upunjaji na yaliyo ya hila na ninyi mnajitegemeza juu yake,+
8 Kwa hiyo, basi, mtu anayepuuza+ hampuuzi mwanadamu, bali Mungu,+ anayeitia roho yake takatifu+ ndani yenu.