Hesabu 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe.
16 Basi Yehova akamwambia Musa: “Nikusanyie wanaume 70 kati ya wanaume wazee wa Israeli,+ ambao unajua kwamba ni wanaume wazee wa watu na maofisa wao,+ nawe utawapeleka kwenye hema la mkutano, nao watasimama hapo pamoja nawe.