Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Kisha akasema: “Ikiwa, sasa, nimepata kibali machoni pako, Ee Yehova, tafadhali, Yehova na aende pamoja nasi katikati yetu,+ kwa sababu ni watu wenye shingo ngumu,+ nawe utusamehe kosa letu na dhambi yetu,+ nawe utuchukue tuwe mali yako.”+

  • Hesabu 8:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamkabidhi Haruni na wanawe hao Walawi wakiwa watu waliokabidhiwa katikati ya wana wa Israeli,+ ili kuendeleza utumishi wa wana wa Israeli katika hema la mkutano+ na kufanya upatanisho kwa ajili ya wana wa Israeli, ili pigo lolote lisitukie katikati ya wana wa Israeli+ kwa sababu wana wa Israeli wanapakaribia mahali patakatifu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki