9 Hayo yakawa majiji yaliyochaguliwa kwa ajili ya wana wote wa Israeli na kwa ajili ya mkaaji mgeni anayekaa akiwa mgeni katikati yao, ili mtu yeyote anayepiga nafsi na kuiua bila kukusudia akimbilie humo,+ asife mkononi mwa mlipiza-kisasi cha damu mpaka atakaposimama mbele ya kusanyiko.+