Kutoka 21:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini kifo kikitokea, basi utatoa nafsi kwa nafsi,+ Mambo ya Walawi 24:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino; aina ileile ya kasoro ambayo huenda akamtia mtu, hiyo ndiyo atakayotiwa.+ Mathayo 5:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 “Ninyi mlisikia kwamba ilisemwa, ‘Jicho kwa jicho na jino kwa jino.’+
20 Mfupa uliovunjika kwa mfupa uliovunjika, jicho kwa jicho, jino kwa jino; aina ileile ya kasoro ambayo huenda akamtia mtu, hiyo ndiyo atakayotiwa.+