24 mtawatoa wote wawili mpaka kwenye lango la jiji na kuwapiga kwa mawe, nao lazima wafe, yule msichana kwa sababu hakupiga mayowe jijini, na yule mwanamume kwa sababu alimfedhehesha mke wa mwenzake.+ Kwa hiyo lazima utaondolea mbali lililo ovu kutoka katikati yako.+