Mathayo 19:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+ Mathayo 19:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Akawaambia: “Musa, kwa kufikiria ugumu wenu wa moyo,+ aliwapa ruhusa ya kuwataliki wake zenu, lakini haikuwa hivyo kutoka mwanzo.+
3 Na Mafarisayo wakamjia, wakikusudia kumjaribu na kusema: “Je, ni halali mwanamume kumtaliki mke wake kwa kila sababu?”+
8 Akawaambia: “Musa, kwa kufikiria ugumu wenu wa moyo,+ aliwapa ruhusa ya kuwataliki wake zenu, lakini haikuwa hivyo kutoka mwanzo.+