Hesabu 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nalo wingu likageuka na kutoka juu ya hema, na, tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Ndipo Haruni akageuka kumwelekea Miriamu, na, tazama! alikuwa amepigwa kwa ukoma.+ Hesabu 12:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa hiyo Miriamu akatengwa nje ya kambi siku saba,+ nao watu hawakuondoka mpaka Miriamu alipopokewa ndani.
10 Nalo wingu likageuka na kutoka juu ya hema, na, tazama! Miriamu alikuwa amepigwa kwa ukoma mweupe kama theluji.+ Ndipo Haruni akageuka kumwelekea Miriamu, na, tazama! alikuwa amepigwa kwa ukoma.+
15 Kwa hiyo Miriamu akatengwa nje ya kambi siku saba,+ nao watu hawakuondoka mpaka Miriamu alipopokewa ndani.