22 “Acha nipite katikati ya nchi yako. Hatutageuka kando kuingia katika shamba wala katika shamba la mizabibu. Hatutakunywa maji ya kisima chochote. Kwenye barabara ya mfalme tutapiga mwendo mpaka tutakapokuwa tumepita katikati ya eneo lako.”+
19 “‘Baada ya hayo Israeli wakatuma wajumbe kwa Sihoni mfalme wa Waamori, mfalme wa Heshboni,+ na Israeli wakamwambia: “Tafadhali, tuache tupite katika nchi yako kwenda mahali pangu mwenyewe.”+