Mwanzo 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Baadaye Abramu akavunja kambi, wakati huo akienda kutoka kambi mpaka kambi kuelekea Negebu.+ Hesabu 21:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.
21 Sasa yule Mkanaani, mfalme wa Aradi,+ aliyekaa Negebu,+ akapata kusikia kwamba Israeli alikuwa amekuja kupitia njia ya Atharimu, naye akaanza kupigana na Israeli na kuchukua baadhi yao kuwa mateka.