6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+
21 “ ‘Nami nitaita upanga juu yake kotekote katika eneo langu lote lenye milima,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.+ ‘Upanga wa kila mmoja utakuwa juu ya ndugu yake.+